Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 21:59

Polisi wa Nigeria wawasili Somalia kuimarisha ulinzi


Polisi wa Nigeria wawasili Somalia kuimarisha ulinzi
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:29 0:00

Mratibu wa kazi za kikosi cha Polisi cha Umoja wa Afrika, Somalia, AMISOM, Daniel Ali Gwambal amesema Jumatatu kundi la maafisa wa polisi 144 kutoka Nigeria wamewasili Somalia ili kuimarisha juhudi za kuleta uthabiti katika taifa hilo la Pembe ya Afrika.

XS
SM
MD
LG