Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 28, 2023 Local time: 12:54

Papa Francis awasihi vijana kujiepusha na rushwa, kufanya kazi kwa bidii


Papa Francis awasihi vijana kujiepusha na rushwa, kufanya kazi kwa bidii
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:19 0:00

Zaidi ya watu 65,000 walikuwa uwanjani mjini Kinshasa kumkaribisha Papa Francis ambaye aliwaita vijana ambao alisema ni ‘mabingwa wa udugu’ na ‘wenye ndoto ya dunia iliyoungana’ katika siku ya tatu ya ziara yake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

XS
SM
MD
LG