Papa Francis Alhamisi aliwasihi maelfu ya vijana nchini Jamhuri ya Kidemokrasa ya Congo kufanya kazi kuelekea katika mustakbali mzuri na kujiepusha na rushwa katika nchi hiyo ya kikatoliki, ambayo imegubikwa na ghasia upande wa mashariki.
Papa Francis Alhamisi aliwasihi maelfu ya vijana nchini Jamhuri ya Kidemokrasa ya Congo kufanya kazi kuelekea katika mustakbali mzuri na kujiepusha na rushwa katika nchi hiyo ya kikatoliki, ambayo imegubikwa na ghasia upande wa mashariki.