Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 28, 2025 Local time: 01:52

Upinzani kuitisha maandamano DRC


Wafuasi wa Upinzani DRC wakifanya maandamano katika picha ya awali.
Wafuasi wa Upinzani DRC wakifanya maandamano katika picha ya awali.

Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, vimetishia kuitisha maandamano tarehe 24 mwezi huu kishinikiza Tume huru ya uchaguzi kutoa kalenda ya uchaguzi.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:55 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Hata hivyo serikali imepanga mikakati ya kufanyika kwa mazungumzo baina yake na vyama hivyo swala ambalo viongozi wa upinzani wanasema ni la kuwapotezea muda tu.

XS
SM
MD
LG