Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 02, 2026 Local time: 09:55

Upinzani kuitisha maandamano DRC

Wafuasi wa Upinzani DRC wakifanya maandamano katika picha ya awali.
Wafuasi wa Upinzani DRC wakifanya maandamano katika picha ya awali.

Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, vimetishia kuitisha maandamano tarehe 24 mwezi huu kishinikiza Tume huru ya uchaguzi kutoa kalenda ya uchaguzi.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:55 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Hata hivyo serikali imepanga mikakati ya kufanyika kwa mazungumzo baina yake na vyama hivyo swala ambalo viongozi wa upinzani wanasema ni la kuwapotezea muda tu.

This item is part of
XS
SM
MD
LG