Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 15:05

Obama kufanya ziara Cuba


Rais Barack Obama wa Marekani.
Rais Barack Obama wa Marekani.

Rais Barack Obama wa Marekani amewakaribisha wabunge wa Marekani kutoka vyama vyote kujiunga naye katika ziara ya kihistoria nchini Cuba.

Rais Barack Obama wa Marekani amewakaribisha wabunge wa Marekani kujiunga naye kwenye ziara nya kihistoria nchini Cuba inayatarajiwa kufanyika katika muda wa wiki moja.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:22 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Ingawaje ordha ya watakaoandamana naye Rais haijatolewa, mwandishi wa VOA Michael Bowman ameweza kuzungumza na maseneta kadhaa ambao wamedhibitisha kupokea mwaliko huo.

XS
SM
MD
LG