A look at the best news photos from around the world.
November 9, 2015

5
Mfanyakazi wa manispaa apiga kelele wakati akijaribu kurekebisha bomba lililopasuka kwenye barabara iliofurika kwenye mji wa kusini wa Ashkelon, Israel.

6
Mfanyakazi wa uokozi atafuta waathirika kwenye mkoa wa Bento Rodrigues uliofunikwa na tope baada ya bwawa linalomilikiwa na Vale AS na BHP Billiton Ltd kuvunja kingo zake Mariana, Brazil, Novemba. 8, 2015.

7
Msichana asimama karibu na mlango akitazama wenzake wakipata chanjo ya polio iliofanywa nyumba kwa nyumba wakati wa kampeni ya kuangamiza ugonjwa huo Sana'a, Yemen.

8
Wafanyakazi wapita karibu na bango linaloonyesha sehemu ya kati ya mji uliofunikwa na hewa chafu Beijing, China.