Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 15:01

Bodi mpya ya mitihani, Kenya


Wanafunzi wakiwa darasani Kenya.
Wanafunzi wakiwa darasani Kenya.

Bodi mpya ya kusimamia mitihani nchini sasa imeteuliwa siku chache tu baada ya wanachama wa bodi ya kusimamia mitihani KNEC nchini Kenya kutimuliwa, na kuagizwa iandikishe taarifa za uchunguzi kwenye makao makuu ya polisi kuhusiana na wizi wa mitihani nchini humo.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:34 0:00
Kiungo cha moja kwa moja


Wakuu wa usalama wamekiri kuwa udanganyifu wa mitihani ya kitaifa umeongezeka kutokana na mitandao ya kijamii, baada ya matokeo ya wanafunzi 5,000 waliofanya mtihani mwisho wa mwak jana kufutiliwa mbali kama Josephat Kioko anavyoeleza kutoka Mombasa.

XS
SM
MD
LG