Warohingya wahofia mustakbal wao
Waislamu Warohingya laki 7waliotoroka Myanmar na kwenda Bangladesh kufuatia ukandamizaji mbaya ulofanywa na jeshi la Mynamar Agasti mwaka 2017 katika jimbo la Kaskazini-Magharibi la Rakhine. Lakini Warohingya zaidi ya laki 1 na elfu 20 walobakia Myanmar, maisha yanatisha na wanahofia mustakbal wao.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum