Zoezi la kutegua mabomu ya ardhini nchini Ukraine. Mabomu hayo yanadaiwa kuwekwa na wanajeshi wa Russia baada ya kuondoka katika maeneo waliokuwa wameyavamia. Zoezi hilo la kutegua mabomu linaendeshwa na mwanajeshi mstaafu wa Marekani. Sikiliza repoti kamili ya mwandishi wetu kuhusu zoezi hilo na jinsi mwanajeshi huyo mstaafu anavyoendesha zoezi hilo... #ukraine #kyiv #mabomu #uteguaji #gruneti #russia #wanajeshi #mamlaka #voa #voaswahili
Mwanajeshi mstaafu wa Marekani asaidia kutegua mabomu Ukraine
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto