Muungano wa vyama vya upinzani nchini Tunisia umetoa wito wa kupinga utawala wa Rais Kais Saied baada ya asilimia 11.3 pekee ya wapiga kura kushiriki kwenye duru ya pili ya uchaguzi wa bunge katika taifa hilo ambalo limegawanyika kisiasa. Endelea kusikiliza ...