Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 29, 2023 Local time: 06:38

Mkenya abuni njia ya kufundisha walemavu wa kusikia


Mkenya abuni njia ya kufundisha walemavu wa kusikia
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:19 0:00

Mkenya Charles Okello wa Kenya abuni njia nyepesi ya kuwafundisha watoto wenye ulemavu wa kusikia kwa kutumia app ya simu ili kusaidia kuboresha matokeo ya mafunzo yao darasani.

XS
SM
MD
LG