Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 30, 2026 Local time: 21:30

Mjadala juu ya ajali ya meli Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali M. Shein na Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif wakiwa wenye huzuni wakati walifika eneo la ajali ya meli ya Spice Islander.
Rais wa Zanzibar, Dk Ali M. Shein na Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif wakiwa wenye huzuni wakati walifika eneo la ajali ya meli ya Spice Islander.

Wajumbe kwenye mjadala wanajadili matatizo yaliyotokea hadi ajali kutokea, hadithi za walonusurika, na hatua zinazohitajika kuepusha ajali kama hiyo kutokea tena.

This item is part of
XS
SM
MD
LG