Afisa wa usalama wa Misri anazungumza na mwanamke anaeshikilia mti katika kambi iliyoshmabuliwa na vikosi vya usalama. karibu na chuo kikuu cha Cairo huko Giza, Cairo, Misri, Jumatano
Serikali ya Misr imetangaza amri ya dharura kote nchini kuanzia hii leo, kwa muda wa mwezi moja kufuatana na taarifa ya rais iliyotangaza na televisheni ya taifa.
Taarifa hiyo ina liamrisha pia jeshi kukisaidia kikosi cha polisi "kutanzua mzozo unaotokea kote Misri."
Taarifa hiyo imetolewa wakati vikosi vya usalama vilikuwa vinashambulia makambi mawili kuwaondowa wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi kati kati ya mji mkuu wa Cairo.
Wakati huo huo kumekuwepo na ripoti zinazotofautiana hii leo juu ya idadi ya watu walouliwa na walojeruhiwa katika ghasia zinazotokea kote nchini. Wizara ya afya inaeleza watu 95 wameuliwa na wengine 974 kujeruhiwa kote nchini.
hata hivyo baadhi ya wanachama wa chama cha Muslim Brotherhood cha Bw Morsi wanasema idadi ya walofariki imefikia hadi 2,200 na wengine elfu 10 kujeruhiwa. sauti ya amerika haijaweza kuthibitisha idadi hizo zote zinazotolewa.
Vikosi vya usalama Misri vya pambana na wafuasi wa Morsi
1/16Afisa wa usalama abishana na mama mmoja anabeba fimbo katika eneo ambalo wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi wamekusanyika katibu na Chuo kikuu cha Cairo, huko Giza, Cairo,, Augusti 14, 2014.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
2/16Wafuasi wa rais aliyepinduliwa Misri Mohamed Morsi wakizingira gari la polisi wakati wa mapambano na vikosi vya usalama vya Misri katika mtaa wa Cairo wa Mohandessin, Misri, Augusti 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
3/16Wafuasi wa rais aliyepinduliwa Misri Mohamed Morsi wakiimba nyimbo dhidi ya waziri wa ulinzi Gen. Abdel-Fattah el-Sissi wakati wa mapambano na vikosi vya usalama katika mtaa wa Cairo wa Mohandessin , Augusti 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
4/16Gari la polisi linasukumwa na kunagushwa kutoka daraja la October 6 na waandamanaji karibu na kambi kuu la mkusanyiko mkubwa wa wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi katika wilaya ya Nasr City mashariki ya Cairo, Augusti 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
5/16Afisa wa usalama wa Msiri akibeba msahafu wanapowaondowa wafuasi wa Mohamed Morsi kutoka kambi dogo la wafuasi wake karibu na chuo kikuu cha Cairo huko Giza, Cairo, Ogusti 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
6/16Supporters of Egypt's ousted President Mohammed Morsi clash with the Egyptian security forces as the forces clear their sit-in camp in the eastern Nasr City district of Cairo, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
7/16Makeshift wooden huts burn at a sit-in camp set up by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi as Egyptian security forces clear the camp near Cairo University in Cairo's Giza district, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
8/16Supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi carry another as Egyptian security forces clear a sit-in camp set up near Cairo University in Cairo's Giza district, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
9/16A protester comes to the aid of a wounded comrade as security forces clear a sit-in by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi in the eastern Nasr City district of Cairo, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
10/16Supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi, stand among debris and smoke in background as they confront Egyptian security forces trying to clear the smaller of the two sit-ins, near the Cairo University campus in Giza, Cairo, Egypt, Wednesday,
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
11/16Egyptian security forces clear a sit-in by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi in the eastern Nasr City district of Cairo, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
12/16Protesters throw stones at Egyptian security forces trying to clear a sit-in by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi in the eastern Nasr City district of Cairo, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
13/16Egyptian security forces detain protesters as they clear a sit-in by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi in the eastern Nasr City district of Cairo, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
14/16An aerial view of lava flowing out of the Bardarbunga volcano in southeast Iceland. The Bardarbunga volcano system has been rocked by hundreds of tremors daily since mid-August, prompting fears the volcano could explode.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
15/16A lightly wounded member of the Egyptian security forces talks with other officers as they clear sit-ins by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi, near the Cairo University campus in Giza, Cairo, Egypt, August 14, 2013.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
16/16Britain's former Prime Minister Gordon Brown speaks at a campaign event in favour of the union in Clydebank, Scotland, Sept. 16, 2014.
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.