Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 01:56

Misri na Sudan wasema wako tayari kukutana tena na Ethiopia


Misri na Sudan wasema wako tayari kukutana tena na Ethiopia
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:31 0:00

Misri na Sudan zinasema ziko tayari kuanza tena mazungumzo kuhusiana na mradi uliyo na utata wa bwawa la maji kwenye Mto wa Blue Nile baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwataka kufikia makubaliano ya haraka.

XS
SM
MD
LG