Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 13, 2026 Local time: 15:08

Mchezaji wa timu ya Ufaransa afunguliwa mashtaka ya ubakaji


Mchezaji wa timu ya Ufaransa afunguliwa mashtaka ya ubakaji
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:40 0:00

Mchezaji wa safu ya ulinzi wa timu ya Paris Saint-Germain Achraf Hakimi nchini Ufaransa amefunguliwa mashtaka ya tuhuma za ubakaji kwa mujibu wa mwendesha mashtaka.

Uchunguzi wa awali ulifunguliwa dhidi ya mchezaji huyo wiki iliyopita baada ya mwanamke mwenye umri wa miaka 23 kwenda polisi kwa shauri la ubakaji. Endelea kusikiliza hatma ya mashtaka hayo...

XS
SM
MD
LG