Mchambuzi apongeza hatua ya serikali ya Tanzania kupunguza tozo za huduma za fedha
Waziri wa Fedha wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba ameelezea bungeni kuwa serikali imepunguza tozo za huduma za fedha za kieletroniki kwa njia ya mitandao ya simu pamoja na miamala ya benki, ungana na mchambuzi wa uchumi mjini Dar es Salaam akikufafanulia faraja iliyotokana na punguzo hili.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.