Mfanyabiashara huyo milonea alitangaza ugombea wake katika video ya dakika moja iliyochapishwa mtandaoni, akisema” Tulikabiliwa na baadhi ya changamoto, tutaboresha uchumi huu na tutaiimarisha Marekani.”
Phillips anatarajiwa kufanya kampeni nje ya ukumbi wa jimbo la New Hampshire leo jioni kabla ya kuwasilisha fomu yake ya ugombea kwa katibu wa jimbo, na kuendelea na kampeni yake kwa kusafiri na basi.
Forum