Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 17:39

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU wakutana Prague kujadili Russia


Mawaziri wa Ulinzi wa Umoja wa Ulaya wakiwa Jamhuri ya Czech.
Mawaziri wa Ulinzi wa Umoja wa Ulaya wakiwa Jamhuri ya Czech.

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa wanakutana leo  Jumanne huko Prague kwa ajili ya mkutano usio rasmi kuijadili Russia na vita vya Ukraine na athari zake kwa usalama wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya.

Mkutano huo katika mji mkuu wa Czech pia ulihudhuriwa na maafisa wakuu kutoka UN, NATO na Bunge la Ulaya.

Mawaziri wa Ulinzi pia walipangwa kujadili ushawishi wa shughuli za Russia barani Afrika, kwa kuzingatia mahsusi katika mazungumzo ya Umoja wa Ulaya katika kanda hiyo.

XS
SM
MD
LG