Utafiti huo umechapishwa leo Jumatano katika jarida la uraibu wa dawa za kulevya.
Utafiti ulizingatia taaririfa za kitaifa kuhusu matumizi ya dawa na afya na kuangazia zaidi matumizi ya tumbaku, pombe na dawa za kulevya.
Hii ndio mara ya kwanza tangu mwaka 2022, utafiti unaonyesha kwamba idadi ya watu wanaovuta bangi inazidi idadi ya wale wanaokunywa pombe.
Utafiti mwingine unaonyesha kwamba watu wanaovuta sana bangi wanakabiliwa na hatari kubwa ya kuwa waraibu wa bangi na kupata madhara yanayotokana na uvutaji bangi ikiwemo kupoteza uelewa wa mambo yanayoendelea maishani.
Forum