Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:53

Mashahidi waendelea kutoa picha halisi ya kifo cha Floyd


Mashahidi waendelea kutoa picha halisi ya kifo cha Floyd
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mashahidi wanaendelea kujieleza katika kesi ya Derek Chauvin afisa wa zamani wa polisi aliyeshtakiwa kwa kifo cha George Floyd.

- Umoja wa Afrika umetoa wito kuchukuliwa hatua baada ya wanamgambo kuua darzeni ya watu Msumbiji.

- Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito kwa vyombo vya usalama Somalia kutatua mzozo wa uchaguzi haraka.
XS
SM
MD
LG