Baraza la Seneti lilipiga kura Alhamis na kumfanya Jackson mwenye umri wa miaka 51 kuwa mwanamke wa kwanza mweusi kuhudumu katika mahakama ya juu Marekani. Ungana na mwandishi wetu Khadija Riyami akielezea wasifu wa Jaji Ketanji na lililopelekea kuteuliwa katika wadhifa huo wa juu nchini Marekani.
Matukio
-
Desemba 06, 2021
Prof Walter Jaoko asema Omicron sio hatari sana kama Delta
-
Septemba 03, 2021
COVID-19 : Wananchi wafarijika kufunguliwa shughuli mbalimbali Rwanda
-
Septemba 02, 2021
Uchunguzi wa polisi waonyesha Hamza gaidi