Baraza la Seneti lilipiga kura Alhamis na kumfanya Jackson mwenye umri wa miaka 51 kuwa mwanamke wa kwanza mweusi kuhudumu katika mahakama ya juu Marekani. Ungana na mwandishi wetu Khadija Riyami akielezea wasifu wa Jaji Ketanji na lililopelekea kuteuliwa katika wadhifa huo wa juu nchini Marekani.
Matukio
-
Desemba 20, 2022
Je Museveni anamuogopa mwanawe?
-
Novemba 18, 2022
Maandalizi ya Kombe la Dunia 2022 siku mbili kabla ya Kipute kuanza
-
Novemba 01, 2022
Waumini wahamasishwa kuto kula nyama ili kuhifadhi mazingira