Donald Trump amekuwa rais wa zamani wa kwanza kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu.
Katika hatua ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Marekani, Jopo la Mahakama huko New York limepiga kura kumshtaki Trump kwa shutuma za uhalifu unaohusiana na kumnyamazisha mcheza filamu za ngono wakati wa kampeni yake ya urais mwaka 2016.
Mashtaka yaliyotarajiwa zaidi yanakuja wakati Trump anatafuta kurejea tena White House baada ya kushindwa azma yake ya kuchaguliwa tena 2020, na kumfanya kuwa yote rais pekee, hivi sasa au zamani na mgombea urais pekee aliyefunguliwa mashtaka.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.