Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:10

Marekani: Polisi waendelea na uchunguzi kufuatia kifo cha Mtanzania Georgia


Marekani: Polisi waendelea na uchunguzi kufuatia kifo cha Mtanzania Georgia
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:04 0:00

Polisi waendelea na uchunguzi kufuatia kifo cha Mtanzania Rogers Kyaruzi kilichotokea Georgia hapa Marekani. Inadaiwa kuwa Mtanzania huyo alipigwa risasi na afisa polisi katika mgahawa. Tukio hilo lilitokea wakati afisa Polisi huyo akijaribu kumsihi atoke nje ya mgahawa.

XS
SM
MD
LG