Marekani inasema inafuatilia kwa karibu uasi wa Mamluki wa Wagner dhidi ya jeshi la Russia
Kiongozi wa mamluki Yevgeny Prigozhin, na wanajeshi wake wamaliza uasi wao uliyotokea Jumapili dhidi ya uongozi wa kijeshi wa Russia, huku haijajulikana kutakuwa na matokeo gani baada ya changamoto za kijeshi ambazo zilimalizika baada ya kuripotiwa makubaliano yaliyo simamiwa na Belarus.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC