Lyoya ambaye alizaliwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo alipigwa risasi na afisa wa idara ya polisi ya mji wa Grand Rapids ambaye hajatajwa jina baada ya kusimamishwa kazi mapema mwezi huu.
Watu hao wawili walihangaika kugombania bunduki ya afisa huyo kabla ya Lyoya kupigwa risasi kisogoni uso wake ukiwa umelala kifudifudi.