Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 01, 2026 Local time: 06:37

Wakenya wasubiri uamuzi wa kesi ya uchaguzi wa rais

Mahakama ya juu Kenya
Mahakama ya juu Kenya

Mahakama ya juu nchini Kenya,  inaendelea na kikao chake, ikisikiliza kesi iliyowasilishwa na muungano wa upinzani, NASA, kupinga kutangazwa  kwa rais Uhuru Kenyatta kama mshindi wa urais.

Siku ya Jumanne, BMJ Muriithi alizungumza na wakili Charles Kanjama, ambaye ni mchambuzi wa masuala ya siasa na akaanza kwa kumuuliza kuelezea kuhusu zoezi la kukagua mifumo ya kielektroniki ya tume ya uchaguzi ya IEBC, limefikia wapi, baada ya mahakama hiyo kuamuru lifanyike.

please wait

No media source currently available

0:00 0:07:48 0:00

This item is part of
XS
SM
MD
LG