Sikiliza mwandishi wetu akifafanua juu ya uchunguzi huo na nini analoeleza rais. Endelea kusikiliza...
Majaji waliofanya tathmini ya shutuma dhidi ya Ramaphosa wawakilisha mapendekezo
Jopo la majaji watatu lililoundwa kuchunguza iwapo kunaulazima wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa afunguliwe mashtaka ya kuondolewa madarakani baada ya mamilioni ya dola zilizofichwa katika shamba lake binafsi ambazo zimeripotiwa zilitokana na wizi limewakilisha mapendekezo yake Jumatano.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.