Sikiliza mwandishi wetu akifafanua juu ya uchunguzi huo na nini analoeleza rais. Endelea kusikiliza...
Majaji waliofanya tathmini ya shutuma dhidi ya Ramaphosa wawakilisha mapendekezo
Jopo la majaji watatu lililoundwa kuchunguza iwapo kunaulazima wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa afunguliwe mashtaka ya kuondolewa madarakani baada ya mamilioni ya dola zilizofichwa katika shamba lake binafsi ambazo zimeripotiwa zilitokana na wizi limewakilisha mapendekezo yake Jumatano.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto