Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 11:03

Majaji waliofanya tathmini ya shutuma dhidi ya Ramaphosa wawakilisha mapendekezo


Majaji waliofanya tathmini ya shutuma dhidi ya Ramaphosa wawakilisha mapendekezo
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:00 0:00

Jopo la majaji watatu lililoundwa kuchunguza iwapo kunaulazima wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa afunguliwe mashtaka ya kuondolewa madarakani baada ya mamilioni ya dola zilizofichwa katika shamba lake binafsi ambazo zimeripotiwa zilitokana na wizi limewakilisha mapendekezo yake Jumatano.

XS
SM
MD
LG