Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Desemba 08, 2025 Local time: 04:05

Maimai wasalimisha silaha na kufikia makubaliano na serikali ya DRC


Maimai wasalimisha silaha na kufikia makubaliano na serikali ya DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:54 0:00

Wapiganaji wa Maimai Malaika walioanzisha kikundi chao Salamavila ili kulinda madini yao yanayo chimbwa na kampuni za madini katika maeneo yao wamesalimisha silaha zao kwa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na pande zote kufikia makubaliano.

XS
SM
MD
LG