Maandamano hayo yameonekana kukaidi marufuku iliyowekwa dhidi ya maandamano nchini humo licha ya misako inayoendelea kufanywa na vyombo vya serikali.
Msimamo mkali ulionyeshwa wiki iliyopita na Rais Abdel Fattah al Sisi baada ya kutolewa video dhidi ya utawala wake na mfanyabiashara aliyetoroka nchini Mohamed Aly umetisha waangalizi wengi kwenye taifa hilo ambalo ni maarufu katika kukandamiza kila aina ya upinzani.
Imetayarishwa na mwandishi wetu, Washington, DC.
Facebook Forum