Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 01:55

Maandamano DRC ya kupinga ushiriki wa Rwanda yaleta maafa


Maandamano DRC ya kupinga ushiriki wa Rwanda yaleta maafa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:08 0:00

Watu wawili wamepoteza maisha wakati wa maandamano ya kupinga makubaliano kati ya DRC na Rwanda katika hatua ya kuwaunganisha na muungano wa polisi kutoka mataifa 14.

XS
SM
MD
LG