Kulingana na barua zilizopelekewa kila mmoja wa watu 7, wote wamepewa saa 72 kuondoka nchini Ethiopia.
Wafuatao ndio walioamriwa kuondoka:
1. Adele Khodr, mwakilishi wa UNICEF nchini Ethiopia
2. Sonny Onyegbula,UNHCR
3. Kwesi Sansculotte, UNOCHA
4. Saeed Mohamoud Hersi: Afisi ya uratibu wa misaada Ethiopia.
5. Grant Leaity, Afisa wa masuala ya huduma za binadamu Ethiopia
6. Bi Ghada Eltahir Mudawi: Afisa wa masuala ya huduma za binadamu Ethiopia
7. Bi Marcy Vigoda, Afisa wa masuala ya huduma za binadamu Ethiopia
Habari zaidi zitafuata...