Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 18:44

Kamati ya kutatua mzozo kwenye bunge la Liberia yabuniwa


Mke wa Rais wa Marekani Michelle Obama(kushoto)akiwa na Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf mjini Monrovia mwezi Juni.
Mke wa Rais wa Marekani Michelle Obama(kushoto)akiwa na Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf mjini Monrovia mwezi Juni.

Rais wa muda wa baraza la Seneti la Liberia amesema Jumatatu kuwa baraza lake limebuni kamati ya muda ili kujaribu kusuluhisha mvutano kwenye baraza la wawakilishi.

Rais wa muda wa baraza la Seneti la Liberia amesema Jumatatu kuwa baraza lake limebuni kamati ya muda ili kujaribu kusuluhisha mvutano kwenye baraza la wawakilishi.

Baraza hilo limekwama kwa zaidi ya miezi miwili sasa kutokana na kutokukubaliana kati ya wabunge.

Kundi moja linamtaka spika wa bunge Alex Tyler kujiondoa kwenye shughuli za bunge mpaka uchunguzi dhidi yake utakapokamilika kuhusiana na tuhuma za kura rushwa.

Spika na wale wanaomuunga mkono wanasema hana kosa hadi pale atakapopatikana na hatia mahakamani.

XS
SM
MD
LG