Maafisa wa idara ya dharura ya Indonesia wamethibitisha mafuriko na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya watu 97.
-Mahakama Malaysia imeanza kusikiliza kesi ya rufaa ya Waziri Mkuu wa zamani Razak ya kutaka kubadili hukumu ya kifungo cha miaka 12 kwa kuhusika na uporaji wa fedha.
-Mahakama Malaysia imeanza kusikiliza kesi ya rufaa ya Waziri Mkuu wa zamani Razak ya kutaka kubadili hukumu ya kifungo cha miaka 12 kwa kuhusika na uporaji wa fedha.
Facebook Forum