Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 01:44

Kampuni ya LG yafunga kitengo cha simu kinachopata hasara


Kampuni ya LG yafunga kitengo cha simu kinachopata hasara
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:55 0:00

Kampuni kubwa ya Electronic ya Korea Kusini ya LG itafunga kitengo chake kinachopata hasara cha simu za mkononi baada ya kumkosa mnunuzi.

Maafisa wa idara ya dharura ya Indonesia wamethibitisha mafuriko na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya watu 97.

-Mahakama Malaysia imeanza kusikiliza kesi ya rufaa ya Waziri Mkuu wa zamani Razak ya kutaka kubadili hukumu ya kifungo cha miaka 12 kwa kuhusika na uporaji wa fedha.

Facebook Forum

XS
SM
MD
LG