Mabishano makali yamejitokeza kutokana na mapendekezo ya katiba mpya inayopigiwa kura Augusti 4 nchini Kenya. Hivi ni baadhi ya vipengele ambavyo zimezusha ubishani mkubwa, hamasa na uhasama baina ya wanaounga mkono na wanaopinga.
Mabishano makali yamejitokeza kutokana na mapendekezo ya katiba mpya inayopigiwa kura Augusti 4 nchini Kenya. Hivi ni baadhi ya vipengele ambavyo zimezusha ubishani mkubwa, hamasa na uhasama baina ya wanaounga mkono na wanaopinga.