Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 12:36

Kombe la dunia: Saudi Arabia yashangaza wengi kwa kuifunga Argentina mabao 2-1


Lionel Messi, wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika kituo cha vyombo vya habari, mjini Doha, Novemba 21, 2022
Lionel Messi, wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika kituo cha vyombo vya habari, mjini Doha, Novemba 21, 2022

Saudi Arabia imeandika historia leo Jumanne katika kombe la dunia linalofanyika Qatar, kwa kuishinda Argentina kwa mabao 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi katika kundi C.

Mabao hayo mawaili yamefungwa na wachezaji Saleh Al Shehri na Salem Al-Dawsari.

Bao la Argentina limefungwa na nyota wao Lionel Messi kwa kupiga mkwaju wa penalti dakika ya 10 ya mchezo.

XS
SM
MD
LG