Mabao hayo mawaili yamefungwa na wachezaji Saleh Al Shehri na Salem Al-Dawsari.
Bao la Argentina limefungwa na nyota wao Lionel Messi kwa kupiga mkwaju wa penalti dakika ya 10 ya mchezo.
Saudi Arabia imeandika historia leo Jumanne katika kombe la dunia linalofanyika Qatar, kwa kuishinda Argentina kwa mabao 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi katika kundi C.
Mabao hayo mawaili yamefungwa na wachezaji Saleh Al Shehri na Salem Al-Dawsari.
Bao la Argentina limefungwa na nyota wao Lionel Messi kwa kupiga mkwaju wa penalti dakika ya 10 ya mchezo.