Kesi iliyofunguliwa dhidi ya Rais aliyeondoka madarakani Donald Trump ikimtuhumu kuchochea ghasia na uvamizi wa Congress.inaendelea kusikilizwa Jumatano katika Baraza la Seneti la Marekani.
- Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar atimiza siku 100 Madarakani
- Serikali ya Uganda imetangaza kurejeshwa kwa huduma ya Intaneti na mitandao ya Jamii