Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 18:54

Kenyatta aagiza ushuru kurejeshwa kuwa asilimia 16


Kenyatta aagiza ushuru kurejeshwa kuwa asilimia 16
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:40 0:00

Amri ya kiutendaji iliosainiwa na Rais Uhuru Kenyatta ya kurejesha ushuru kuwa asilimia 16 imekuwa ni kero kwa wananchi wa Kenya kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa muhimu.

XS
SM
MD
LG