Binti ambaye amesafiri kutoka upande wa kaskazini mwa Kenya hadi Mombasa kupata matibabu na amepona hivi sasa, baba yake anaeleza hali ilivyokuwa kabla hajapatiwa matibabu kuhusu dalili za tatizo hilo la moyo. Ungana na mwandishi wetu akikuletea maelezo ya mzazi wa mtoto huyo.
Matukio
-
Aprili 25, 2024
Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan