Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 17, 2024 Local time: 04:41

Kenya: Mzazi aeleza hali iliyokuwa inamkabili binti yake aliyekuwa na tundu katika moyo


Kenya: Mzazi aeleza hali iliyokuwa inamkabili binti yake aliyekuwa na tundu katika moyo
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:29 0:00

Mzazi wa Binti aliyegundulika kuwa na tundu katika moyo awahamasisha wazazi kuwapeleka watoto wao kwa ajili ya matibabu ambayo yanatolewa kwa gharama nafuu nchini Kenya.

Binti ambaye amesafiri kutoka upande wa kaskazini mwa Kenya hadi Mombasa kupata matibabu na amepona hivi sasa, baba yake anaeleza hali ilivyokuwa kabla hajapatiwa matibabu kuhusu dalili za tatizo hilo la moyo. Ungana na mwandishi wetu akikuletea maelezo ya mzazi wa mtoto huyo.

XS
SM
MD
LG