Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Julai 26, 2026 Local time: 13:14

Inspekta wa polisi achapa muziki Kenya

Polisi wa Kenya.
Polisi wa Kenya.

Hali ngumu ya kiuchumi nchini Kenya yachochea ubunifu zaidi miongoni mwa wanamuziki nchini Kenya.

Kutokana na hali ngumu ya kiuchumi inayoendelea nchini Kenya, wanamuziki wameamua kuchukua jukumu la kutunga nyimbo za kuwavutia watalii. Mmoja wa wanamziki hao ni afisaa wa polisi wa cheo cha Inspector Salim Mohamed ambae kiusanii anajulikana kama Kim Nigga.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:22 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Mwandishi wa VOA kutoka Mombasa Josephat Kioko amezungumza naye. Bonyeza usikilize.

This item is part of
XS
SM
MD
LG