Baraza la Magavana nchini Kenya Jumatatu lilifanya mkutano mjini Naivasha Kenya ambao umefanyika siku chache tu baada ya Gavana wa Nyeri Nderitu Gachagua kuondolewa madarakani kupitia kura ya kukosa imani.
Wakati kikao hicho kikiendelea, Harrison Kamau wa VOA aliweza kufanya mahojiano na aliekuwa mwenyekiti wa Baraza hilo na ambae ni Gavana wa Kaunti ya Bomet Isaac Ruto na kwanza akamuuliza madhumuni ya mkutano huo.