Baraza la Magavana la Kenya lilikutana mwisho wa Juma kwenye mji wa Naivasha ambapo maswala tofauti yalijadiliwa likiwemo swala la mikakati ya kutekeleza ugatuzi.
Harrison Kamau wa VOA alibahatika kuzungumza na Gavana wa Bungoma Ken Lusaka aliekuwa kwenye mkutano huo na akataka kujua madhumuni yao kukutana mjini humo. Sikiliza mahojiano.