Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:10

Magavana wakutana Naivasha


Wacheza ngoma wa Kenya wakitumbuiza wajumbe nje ya ukumbi wa mikutano kwenye picha ya maktaba.
Wacheza ngoma wa Kenya wakitumbuiza wajumbe nje ya ukumbi wa mikutano kwenye picha ya maktaba.

Baraza la Magavana la Kenya lilikutana mwisho wa Juma kwenye mji wa Naivasha ambapo maswala tofauti yalijadiliwa likiwemo swala la mikakati ya kutekeleza ugatuzi.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:24 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Harrison Kamau wa VOA alibahatika kuzungumza na Gavana wa Bungoma Ken Lusaka aliekuwa kwenye mkutano huo na akataka kujua madhumuni yao kukutana mjini humo. Sikiliza mahojiano.

XS
SM
MD
LG