Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Januari 25, 2025 Local time: 16:48

COVID-19 : ACT yaishauri serikali ya Tanzania ifuate muongozo wa WHO


COVID-19 : ACT yaishauri serikali ya Tanzania ifuate muongozo wa WHO
please wait

No media source currently available

0:00 0:07:36 0:00

Kiongozi wa chama cha upinzani Tanzania, cha ACT mzalendo Zitto Kabwe anasema, inasikitisha kuona kwamba watu wengi hawafuati muongozo wa Shirika la Afya Duniani WHO, katika juhudi za kuzuia kuenea mambukizo ya virus via Corona nchini humo.

Kiongozi wa chama cha upinzani Tanzania, cha ACT mzalendo Bw. Zitto Kabwe anasema, inasikitisha kuona kwamba watu wengi hawafuati muongozo wa Shirika la Afya Duniani WHO, katika juhudi za kuzuia kuenea mambukizo ya virus via Corona nchini humo.
XS
SM
MD
LG