Kiongozi wa chama cha upinzani Tanzania, cha ACT mzalendo Bw. Zitto Kabwe anasema, inasikitisha kuona kwamba watu wengi hawafuati muongozo wa Shirika la Afya Duniani WHO, katika juhudi za kuzuia kuenea mambukizo ya virus via Corona nchini humo.
COVID-19 : ACT yaishauri serikali ya Tanzania ifuate muongozo wa WHO
Matukio
-
Juni 06, 2022
Mahojiano na msemaji wa waasi wa M23 Mj. Willy Ngoma
-
Aprili 13, 2022
Marekani: Wasifu wa Jaji Ketanji na lililopelekea uteuzi wake