Kiongozi wa chama cha upinzani Tanzania, cha ACT mzalendo Bw. Zitto Kabwe anasema, inasikitisha kuona kwamba watu wengi hawafuati muongozo wa Shirika la Afya Duniani WHO, katika juhudi za kuzuia kuenea mambukizo ya virus via Corona nchini humo.
COVID-19 : ACT yaishauri serikali ya Tanzania ifuate muongozo wa WHO
Matukio
-
Januari 02, 2021
Hali ya wanawake DRC kipindi cha COVID-19 2020
-
Januari 02, 2021
Hali ya wanawake Kenya kipindi cha COVID-19 2020
-
Januari 02, 2021
Hali ya wanawake Misri kipindi cha COVID-19 2020
-
Desemba 17, 2020
Kenya yawapa jamii ya Washona uraia
-
Desemba 07, 2020
Absalom Kibanda apongeza uwamuzi wa ACT kujiunga na serikali
-
Desemba 07, 2020
Jussa atetea uwamuzi wa ACT-Wazalendo kuijunga na serikali Zanzibar