Vita vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kati ya jeshi la nchi hiyo na waasi wa M23 ni moja ya matukio mbaya yaliyojiri katika mwaka 2022. Waasi hao waliopigwa na kusambaratishwa kabisa mwaka 2012 walizuka tena na kuanza kuwapa taabu raia. Je, nini matokeo ya juhudi zinazofanyika kurejesha utulivu katika maeneo ya DRC, ikiwepo pia juhudi ya jumuiya ya Afrika Mashariki kuyakomboa maeneo ambayo yanakaliwa kwa mabavu na waasi hao. Sikiliza repoti kamili wakati tukihitimisha mwaka 2022...
Juhudi mpya za EAC kupambana na waasi wa M23 zatoa matumaini
Matukio
-
Aprili 25, 2024
Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa