Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 19:07

Jeshi na Polisi wafanikiwa kuzuia shambulizi liliouwa watu 9


Jeshi na Polisi wafanikiwa kuzuia shambulizi liliouwa watu 9
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:07 0:00

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, serikali ya mkoa wa Kivu kaskazini mashariki mwa Congo, inasema Jeshi na Polisi wamezuia mashambulizi ya kikabila yaliyo sababisha vifo vya zaidi ya watu 9.

XS
SM
MD
LG