Uingereza haikutaja mahali ambapo silaha hizo ziikuwa zinapelekwa, lakini jeshi la Marekani, ambalo lilisema lilitoa msaada wa kijasusi, na uchunguzi kwa operesheni hiyo, lilisema utekaji nyara huo ulifanyika katika njia ambayo kihistoria ilitumika kusafirisha silaha kinyume cha sheria kwenda Yemen.
Ni moja ya msururu wa shehena zilizonaswa na vikosi vya magharibi vinavyosema Iran imewapa silaha waasi wa kihouthi nchini Yemen, madai ambayo Iran inakanusha.
Facebook Forum