Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 21, 2023 Local time: 16:27

Jeshi la Congo lavidhibiti vijiji vilivyokuwa chini ya waasi


Jeshi la Congo lavidhibiti vijiji vilivyokuwa chini ya waasi
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:26 0:00

Jeshi la Congo limeweza kuvirudisha vijiji vitatu na sehemu kubwa ya Rugari katika udhibiti wa serikali kufuatia operesheni ya kijeshi iliyodumu kwa siku tatu.

XS
SM
MD
LG