Wizara hiyo imesema kwamba serikali ya Japan iliwasilisha malalamiko kwa serikali ya China ikitaka maelezo ya kina.
Video iliyopeperushwa na televisheni ya taifa ya Japan NTV, imeonyesha kitu kinachoonekana kama balloon, kikiwa katika anga ya Japan.
Video hiyo ilichukuliwa mwaka 2020.
Wabunge kutoka chama tawala cha Japan wamesema kwamba wanafikiria kufanyia marekebisho sheria ya ulinzi ya Japan, inayozuia matumizi ya silaha pasipo swala la dharura au kwa ajili ya kujilinda, na kutoa ruhusa ya silaha kutumika iwapo anga ya Japan inaingiliwa.
Facebook Forum