Jamhuri ya Afrika ya kati imekabiliwa na vita vya miongo kadhaa, na ilitangaza mwezi uliopita kuanza kutumia Bitcoin, hatua inayoifanya kuwa nchi ya kwanza Afrika kutumia sarafu hiyo kuwa sarafu rasmi.
Serikali haijatoa taarifa zaidi namna raia wake watakavyotumia sarafu hiyo.
Tayari kuna wavuti umezinduliwa kwa jina SANGO, kuwaezesha waekezaji kujisajili.