Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 17:45

Iwapo hakuna chama kitapata idadi kubwa ya viti kudhibiti bunge...?


Iwapo hakuna chama kitapata idadi kubwa ya viti kudhibiti bunge...?
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:11 0:00

Haijabainika chama kitakacho dhibiti Baraza la Wawakilishi na Baraza la Seneti nchini Marekani wakati kura zikiendelea kuhisabiwa katika majimbo yaliyokuwa na ushindani mkali.

Hadi sasa chama cha Republikan kinaongoza katika Baraza la Wawakilishi huku chama cha Demokratik kikiwa na matumaini kushikilia wingi wa viti katika Baraza la Seneti. Nini kitatokea iwapo hakuna chama kitapata idadi kubwa ya viti kudhibiti Bunge...

XS
SM
MD
LG