Hotuba ya Biden yafafanuliwa; kubadilisha utawala Moscow siyo sera ya Marekani
Wizara ya Ulinzi ya Russia yadai majeshi yake yameshambulia miundobinu ya majeshi ya Ukraine, yakifanyika wakati Rais Biden akitoa hotuba nchini Poland na kuzua mjadala duniani kuhusu kubadilisha utawala Moscow, jambo lililoelezwa na maafisa wa serikali ya Marekani kuwa siyo sera ya Washington.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.