Hotuba ya Biden yafafanuliwa; kubadilisha utawala Moscow siyo sera ya Marekani
Wizara ya Ulinzi ya Russia yadai majeshi yake yameshambulia miundobinu ya majeshi ya Ukraine, yakifanyika wakati Rais Biden akitoa hotuba nchini Poland na kuzua mjadala duniani kuhusu kubadilisha utawala Moscow, jambo lililoelezwa na maafisa wa serikali ya Marekani kuwa siyo sera ya Washington.
Matukio
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto
-
Februari 03, 2023
Papa Francis awasihi vijana kujiepusha na rushwa, kufanya kazi kwa bidii
-
Februari 03, 2023
Mkazi wa Goma aeleza hali ngumu inayomkabili na familia yake
-
Februari 02, 2023
Kenya: Wanaharakati wa linda ugatuzi wakihamasisha marekebisho ya Katiba