Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:14

Hofu yatanda juu ya udhibiti wa taarifa za utoaji mimba mitandaoni Marekani


Hofu yatanda juu ya udhibiti wa taarifa za utoaji mimba mitandaoni Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:00 0:00

Wataalam wa faragha za kidigitali wana wasiwasi kuwa taarifa za mitandaoni zinaweza kutumiwa dhidi ya wale wanaotaka kutoa mimba.

Mjadala juu ya udhibiti wa Utoaji mimba Marekani unazua maswali mazito sana kuhusu mipaka ya ufuatiliaji wa kidigitali na jinsi habari hiyo hiyo inaweza kutumika kuwalenga watoa mimba.

XS
SM
MD
LG